Friday, September 22, 2017

WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE FREDERICK SUMAYE AMJULIA HALI MHE TUNDU LISSU NAIROBI

Waziri Mkuu Mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu Mhe. Frederick Sumaye, amefika Hospitalini jijini Nairobi nchini Kenya kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Mhe. Tundu Lissu kufuatia Mbunge huyo kupigwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7,2017 akiwa mjini Dodoma.


No comments:

Post a Comment